Sibuka FM

Wananchi

11 May 2021, 1:24 pm

Wananchi wapewa mbinu za kukabiliana na Tembo vamizi.

Wananchi  wilayani  Meatu  Mkoani   Simiyu  wameaswa  kushirikiana   na  wataalamu  wa   Wanyama pori  ili  kudhibiti  Uharibifu unaofanywa na  wanyama  katika  maeneo  yanayozungukwa  na  Hifadhi za  wanyama. Wito  huo  umetolewa  na  mwakilishi  wa  Mkurugenzi  idara  ya  Wanyama Pori  kutoka  Wizara  ya  Maliasili …