Sibuka FM

Pamba.

6 July 2021, 11:57 am

Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.

Mkoa  wa  Simiyu  Umezindua  Kampeni  ya  kuongeza  Tija  katika   zao  la  Pamba  ili   kuwainua  wakulima  Kiuchumi. Kampeni  hiyo   imezinduliwa  na  Waziri  wa  Kilimo    Profesa    Adolf  Mkenda  na  kusema  kuwa  Serikali  haiwezi  kuamua   Bei  ya  Pamba  katika  Soko  la  Dunia  na …