Sibuka FM
Pamba.
6 July 2021, 11:57 am
Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.
Mkoa wa Simiyu Umezindua Kampeni ya kuongeza Tija katika zao la Pamba ili kuwainua wakulima Kiuchumi. Kampeni hiyo imezinduliwa na Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda na kusema kuwa Serikali haiwezi kuamua Bei ya Pamba katika Soko la Dunia na …