Sibuka FM
Makabidhiano
13 August 2021, 10:12 am
Mhe, BEREGE akabidhiwa Ofisi aahidi neema kwa wana Maswa
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Saimoni Berege ameahidi kutoa ushirikiano kwa Madiwani na watumishi wa kada mbalimbali pamoja na kwakuendeleza miradi yote ambayo ilianzishwa na Mtangulizi wake Dr Fredrick Sagamiko ambaye kwa sasa amehamishiwa …