Sibuka FM

Makabidhiano

13 August 2021, 10:12 am

Mhe, BEREGE akabidhiwa Ofisi aahidi neema kwa wana Maswa

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya  wilaya  ya  Maswa   Mkoani  Simiyu   Ndugu  Saimoni  Berege  ameahidi  kutoa  ushirikiano  kwa  Madiwani  na  watumishi   wa kada  mbalimbali  pamoja  na   kwakuendeleza  miradi  yote  ambayo  ilianzishwa  na  Mtangulizi  wake  Dr  Fredrick   Sagamiko   ambaye  kwa  sasa  amehamishiwa …