Sibuka FM
KIFO
1 October 2021, 1:31 pm
afariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo
Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…