Sibuka FM
Fisi
9 September 2021, 1:20 pm
Mtoto afariki baada ya kujeruhiwa na Fisi-Maswa.
Mtoto mwenye umri wa miaka 5 anayejulikana kwa jina la Masule. S. Cosmas mkazi wa kijiji cha zawa kata ya mwanghonori wilayani Maswa Mkoani Simiyu amefariki baada ya kujeruhiwa na fisi sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea Siku…