Sibuka FM
ANUANI ZA MAKAZI
21 March 2022, 8:18 pm
WENYEVITIÂ WAÂ VITONGOJIÂ ZAIDIÂ YAÂ 40 WILAYANIÂ MASWAÂ WAGOMEAÂ POSHOÂ…
Wenyeviti wa vitongoji zaidi ya Arobaini wanaounda Mamlaka ya Mji mdogo Maswa wamegoma kushiriki zoezi la Uandikishaji wa anuani za Makazi kutokana na Kupunjwa Posho katika Zoezi la Uandikishaji wa Anuani za Makazi hivyo kupelekea kuomba Mwongozo wa Halmashauri kuhusu …