AFYA.
28 March 2022, 10:19 am
Vijana Jitokezeni katika Vituo vya Huduma Rafiki  ya Afya ya Uzaz…
Vijana wameaswa kujitokeza katika Vituo rafk vya kutolea huduma za Afya ili kupata Elimu zaidi kuhusu masuala mbalimbali ya Afya na Afya ya Uzazi. Hayo yamesemwa na Dr Godfrey Christopher kutoka Kituo cha Afya Muungano kilichopo Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu…
28 February 2022, 3:45 pm
Wadau wa afya waombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulel…
Taasisi na wadau mbalimbali wa afya wameombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulelea watoto njiti katika hospitali ya wilaya ya Maswa ili kupunguza vifo vya Watoto na kuiongezea hospitali hiyo uwezo wa kuwahudumia watoto wengi wanaohitaji huduma hiyo kwa…
26 January 2022, 7:56 pm
IDADI YA Â WAJAWAZITO Â WANAOJIFUNGULIAÂ Â KWENYE VITUOÂ VYAÂ AFYAÂ YAFIKIAÂ…
Idadi ya akina mama wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeongezeka kutoka Asilimia 55 kwa Mwezi Januar -June, 2021 hadi kufikia Asilimia 96.4% kwa Mwezi Julai –Decemba, 2021 huku hamna kifo kitokanacho na Uzazi …
29 December 2021, 11:50 am
WILAYA YA MASWA YATAJWA KUONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI …
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Dr …
27 November 2021, 6:28 pm
Mkoa wa Simiyu wapunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% …
Mkoa wa Simiyu umefanikiwa Kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% kwa Robo ya mwezi Julai, August na mwezi Septemba 2021 huku Upatikanaji wa Dawa Ukiongezeka kutoka Asilimia 70% hadi kufikia Asilimia 90%. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa …
26 September 2021, 11:15 am
Asilimia 40% ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa…
Imeelezwa kuwa asilimia Arobaini ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa kabla ya siku zao (Njiti). Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na maendeleo ya Jamii na Mbunge wa Jimbo la Maswa …