Sengerema FM
Wizara ya afya
14 January 2022, 10:52 am
TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA DAWA, VIFAA TIBA KUTOKA NCHINI MISRI.
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Tsh: Mil. 864 vitavyosaidia katika kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika Serikali ya Misri. Msaada huo umetolewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa…
21 October 2021, 1:20 pm
Tanzania kuzidi kuwawezesha wanawake kimaendeleo.
Tanzania imeazimia kuendelea kuwawezesha wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo katika Uongozi na uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kupitia Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…