Uteuzi ikulu
15 October 2021, 9:44 am
MHE. MARY MASANJA AKAGUA UJENZI WA HOTELI YA KITALII YA NYOTA 3 BURIGI CHATO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amekagua ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya nyota tatu katika eneo la Lubambangwe Burigi Wilayani Chato kwa lengo la kuangalia maendeleo ya ujenzi wa hoteli hiyo inayotarajiwa kutumika kwa ajili ya…
13 May 2021, 11:27 pm
Rais Samia afanya uteuzi, Sabaya pembeni kupisha uchunguzi.
Rais Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Taarifa iliyotolewa Alhamisi Mei 13, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa…
4 April 2021, 11:32 pm
Breaking : Rais Samia afanya uteuzi wa makatibu, manaibu katibu wakuu na wakuu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassana amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu wa Wizara, Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara na Wakuu wa Taasisi na Idara mbalimbali za serikali leo tarehe 4/4/2021