Sengerema FM
tra
29 May 2021, 6:39 pm
Mbunge Tabasam akutana na kuzungumza na Wafanyabiashara Sengerema.
Mbunge wa jimbo la Sengerema Tabasam Hamis Mwagao amekutana na kufanya mazungumzo na wafanya biashara wa jimboni kwake kuhusiana na changamoto wanazokabiliana nazo. Baada kikoa hicho Tabasam ameahidi kushirikiana na wafanya biashara hao kutatua kero zinazowakabiri, huku akiiomba serikali kumuondoa…