Sengerema FM
TCRA
3 April 2021, 8:34 am
SERIKALI YASITISHA BEI MPYA ZA VIFURUSHI VYA INTANETI
Kufatia malalamiko ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya Internet Nchini,baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Uamuzi huo ni habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu…