Sengerema FM
Tasaf
28 May 2021, 4:09 pm
TASAF yatoa onyo kali kwa watakao tumia fedha za wanufaika kinyume na utaratibu…
Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya tatu kipindi cha pili katika Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema imejipanga kuwachukulia hatua kali za kisheria kwa watakao bainika kutumia fedha za Tasaf kinyume na utaratibu. Hayo yameelezwa na Bwn,Donard Mzilai…
26 May 2021, 8:41 pm
Kaya masikini elf6 kunufaika na Tasaf nchini.
Jumla ya kaya masikini elfu sita nchini zinatalajia kunufaika na mradi wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya pili huku walengwa millioni moja laki nne na elfu hamsini watanufaika na mradi huo.Hayo yamebainishwa na Bwn Swaleh Mwidad mwakilishi wa mkurungezi…