Sengerema FM
Simba sc
23 April 2021, 8:50 pm
Simba Sc kupigania point3 Misungwi, kukaa kileleni mwa Ligi kuu VPL
Kocha msaidizi wa Simba sc Suleiman Matola amesema katika metch yao dhiidi ya Gwambina fc ya jijini Mwanza utakao chezwa hapo kesho katika uwanja wa Gwambina Misungwi utawahakikishia kuanza kukaa kileleni mwa ligi kuu Tanzania bara. Akizungumza wa wandishi wa…
3 April 2021, 8:43 pm
Simba yaichapa 4-1 As vita ya Congo yatinga robo fainali ligi ya mabingwa Afrika
Klabu ya Simba Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika, baada kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya AS Vital ya Kongo DRC, lakini pia mabingwa hao wa Tanznaia wamejihakikishia nafasi…