Sengerema FM
Sengerema
22 March 2022, 4:14 pm
Waziri wa ardhi azindua baraza la Ardhi Sengerema.
Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya makazi Mh, Agelina Mabula amewataka watumishi wa mabaraza ya ardhi na nyumba ya Wilaya nchini kutimiza wajibu wao kwa weledi kwa kuzingatia sheria ,kanuni ,taratibu na miongozo iliyopo na itakayotolewa ili kuboresha utoaji…
6 January 2022, 10:42 pm
Sengerema yakabidhi madarasa 129 ya uviko 19.
Jumla ya vyumba vya madarasa mia moja na ishirini na tisa vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…