Sengerema FM
Rais bungeni
21 April 2021, 6:28 pm
Rais Mama Samia kuhutubia wabunge rasimi, Ndugai atoa neno.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ameagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge, kurudi bungeni mara moja ili kuhudhuria hotuba ya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hapo kesho. Spika ametoa maagizo hayo mapema…