Sengerema FM
namungo fc
4 April 2021, 8:08 pm
Namungo fc wachezea kichapo cha gori 1-0 dhiidi ya Nkana fc
TIMU ya Namungo FC imepoteza mechi ya tatu mfululizo katika Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuchapwa 1-0 na Nkana FC ya Zambia jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Nkana…