Sengerema FM
Mwadui vs Simba sc
17 April 2021, 3:43 pm
Mwadui FC yatamba kuvuruga mipango ya mabingwa wa ligi kuu Vpl Simba sc.
Kocha wa Mwadui Fc Salhina Mjengwa amesema amejipanga vilivyo kuikabilia klabu ya Simba sc kutoka jijini Dar es salaam katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara utakao chezwa siku ya jumapili ya tar18/04 mwaka huu katika uwanja wa Ccm kambarage…