Sengerema FM
kilimo
16 October 2021, 1:26 pm
TARI-Ukiligulu waja na mbegu bora kukabiliana na magonjwa ya zao la mhogo.
Katika kupambana na magonjwa yanayolikabili zao la mhogo, Wakulima wa zao hilo kanda ya ziwa wameshauriwa kutumia mbegu bora inayozalishwa na taasisi ya utafiti TARI -UKILIGULU MWANZA, ambayo inastahimili magonjwa. Akizungumza na waandishi wa Habari Mtafiti upande wa mazao ya…