Sengerema FM
kifo cha jpm
4 April 2021, 12:13 pm
Mwalimu mstaafu awataka vijana kuiga mfano wa Hayati Dkt. Magufuli.
Mzee Solomoni Elifuraha ni mwalimu mstaafu ambaye kafanya kazi na Hayati Dr. John Pombe Magufuli katika shule ya Senkondari Sengerema iliyopo mjini Sengerema Mkoani Mwanza. Akizungumza kwa masikitiko makubwa Mwl. Elifuraha amesema alizipokea kwa mashituko makubwa taarifa za kifo cha…