Sengerema FM
ded kutumbuliwa
20 April 2021, 4:06 pm
Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema, Magesa Boniphace kupisha uchunguzi baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…