Sengerema FM
crdb sengerema
15 April 2021, 9:32 am
Bank ya CRDB Sengerema yatoa mifuko 100 ya saruji kujenga shule ya sekondari.
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Dr.Emmanuel Kipole amepokea mifuko mia moja ya saruji kutoka Bank ya Crdb kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya wasichana wilayani hapo. Akizungumza baada ya kukabidhi saruji hiyo Manager biarashara wa Crdb…