Sengerema FM
Bungeni leo
8 April 2021, 3:28 pm
Serikali yaagiza kufukiwa kwa mashimo yanayotokana na uchimbaji madini
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
8 April 2021, 12:50 pm
Ripoti ya CAG yatua bungeni Ndugai kuzikabidhi kamati za hesabu za serikali.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ataikabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kamati mbili za Bunge. Amezitaja kamati hizo kuwa ni Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu…