Sengerema FM
bodaboda wamuenzi jpm
28 March 2021, 2:40 pm
Issa Mustapha atumia pikipiki kutoka Dar hadi Chato kumzika JPM.
Mwananchi mmoja anayejulikana kwa jina Issa Mustapha amesafiri umbali wa zaidi ya kilomita 1,200,kutoka mkoani Dar es Salaam hadi wilayani Chato Mkoa wa Geita kwa kutumia bodaboda kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli. Akizungumza wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza…