Sengerema FM
alizeti
6 April 2021, 6:14 pm
Zao la alizeti latajwa kunyanyua uchumi wa wananchi Sengerema
Afisa kilimo kata ya Nyatukala Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bi. Jonesia Joseph amewataka wakazi wa kata hiyo kutumia mvua zinazoendelea kunyesha katika kilimo ili kujipati chakula pamoja na kipato. Bi Jonesia ametoa kauli hiyo ofisini kwake nakusema kuwa kutokana…