Sengerema FM
kilimo
16 October 2021, 1:26 pm
TARI-Ukiligulu waja na mbegu bora kukabiliana na magonjwa ya zao la mhogo.
Katika kupambana na magonjwa yanayolikabili zao la mhogo, Wakulima wa zao hilo kanda ya ziwa wameshauriwa kutumia mbegu bora inayozalishwa na taasisi ya utafiti TARI -UKILIGULU MWANZA, ambayo inastahimili magonjwa. Akizungumza na waandishi wa Habari Mtafiti upande wa mazao ya…
6 April 2021, 6:14 pm
Zao la alizeti latajwa kunyanyua uchumi wa wananchi Sengerema
Afisa kilimo kata ya Nyatukala Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bi. Jonesia Joseph amewataka wakazi wa kata hiyo kutumia mvua zinazoendelea kunyesha katika kilimo ili kujipati chakula pamoja na kipato. Bi Jonesia ametoa kauli hiyo ofisini kwake nakusema kuwa kutokana…