Sengerema FM

kilimo

6 April 2021, 6:14 pm

Zao la alizeti latajwa kunyanyua uchumi wa wananchi Sengerema

Afisa kilimo kata ya Nyatukala Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza  Bi. Jonesia Joseph amewataka wakazi wa kata hiyo kutumia mvua zinazoendelea kunyesha  katika  kilimo ili kujipati chakula  pamoja na kipato. Bi Jonesia ametoa kauli hiyo ofisini kwake nakusema kuwa  kutokana…