Ikulu
15 May 2021, 2:36 pm
Rais Samia afanya uteuzi wa wakuu wa mikoa,aikumbuka familia ya Nyerere.
LEO Mei 15, 2021 Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara akichukua nafasi ya Joseph Mkirikiti ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa. Makongoro ambaye ni mtoto Rais wa kwanza wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage…
13 May 2021, 11:27 pm
Rais Samia afanya uteuzi, Sabaya pembeni kupisha uchunguzi.
Rais Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Taarifa iliyotolewa Alhamisi Mei 13, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa…
4 April 2021, 11:32 pm
Breaking : Rais Samia afanya uteuzi wa makatibu, manaibu katibu wakuu na wakuu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassana amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu wa Wizara, Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara na Wakuu wa Taasisi na Idara mbalimbali za serikali leo tarehe 4/4/2021
28 March 2021, 1:28 pm
Rais Mama Samia atoa maagizo mazito kwa TAKUKURU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuharakisha kesi, kuondoa kesi sizizo na msingi na za kubambikiwa ili kuondokana na idadi kubwa ya kesi ambazo Serikali…