Ruangwa FM

UMEME

16 April 2021, 5:18 pm

Wananchi Ruangwa walia na kero ya katizo la umeme

Wananchi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi wamelalamikia tatizo la kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa hali inayoelezwa kusababisha kusimama kwa baadhi ya shughuli mbalimbali hasa zile zitegemeazo nishati hiyo muhimu katika jamii. Baadhi ya wananchi hao hasa kundi la…