Ruangwa FM

Sports

26 November 2020, 8:16 am

Namungo yaahidi furaha jumamosi

Klabu ya Namungo yenye maskani yake hapa wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeahidi kupambana kufa ama kupona kwenye mchezo wake na timu ya Al Rabita ya Sudani siku ya jumamosi novemba 28 katika uwanja wa Chamazi jijini  Dar es salaam. Namungo…