Ruangwa FM

Education

16 November 2020, 7:58 pm

Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na  kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…