Ruangwa FM

infrastructure,roads

19 October 2020, 12:14 pm

Wananchi msihujumu mradi-Dc. Ruangwa

Wananchi wanaofika wilayani Ruangwa kwa ajili ya kazi mbalimbali kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya Nanganga Ruangwa wamenywa kutohujumu ujenzi wa mradi huu kwa kuiba mali mbalimbali ili kuiwezesha serikali kumaliza mradi huo kwa wakati. Kauli hii ameitoa mkuu…