Radio Kwizera

Utetezi

May 2, 2021, 6:22 pm

Mbunge Ngara aombwa kuwatetea Watumishi

Na; Seif Upupu Chama cha Walimu, CWT wilayani Ngara mkoani Kagera kimemuomba Mbunge wa Ngara Bw Ndaisaba George Ruhoro kuendelea kupaza sauti ndani nan je ya Bunge kwa ajili ya kuwatetea walimu na watumishi wengine wa kada mbalimbali wilayani humo…