Radio Kwizera
Tembo
April 2, 2021, 12:28 pm
Tembo wavamia mashamba Ngara
Na; Felix Baitu. Zaidi ya Ekari 5 za mazao mbalimbali kwenye kijiji cha Lwakaremela kata ya Kasulo wilayani Ngara mkoani Kagera zimeharibiwa na Tembo waliovamia kijiji hicho wakitokea katika hifadhi ya wanyapori ya Burigi Chato Wakazi wa kijiji hicho wamesema…