Radio Kwizera
Radio Kwizera
March 25, 2021, 8:36 am
Biharamulo wahimizwa kuwajibika
Na; William Mpanju Serikali Wilayani Biharamulo Mkoani Kagera imewataka wananchi na watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kumuenzi hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli Mkuu wa wilaya ya Biharamulo, Kanali Mathias Kahabi amesema hayo wakati akieleza namna wananchi wa Biharamulo wanavyotakiwa kuendelea kumuenzi kwa kufanya kazi kama ilivyokuwa kauli mbiu ya Dr Magufuli ya “Hapa Kazi Tu”…