Radio Kwizera

muungano

April 26, 2021, 11:51 am

Dr Mpango asema Huu ni Muungano unaoishi

Na Seif Upupu Makamu wa Rais Dr Philip Mpango amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Muungano unaoishi ili kutimiza matakwa na malengo ya Watanzania Akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano la Muungano leo kwenye Ukumbi wa Chimwaga jijini Dodoma, Dr…