Radio Kwizera

Kifo

March 30, 2021, 5:48 pm

Mwanafunzi afariki akiimba Kwaya, Biharamulo

Na; William Mpanju Mwanafunzi Samson Nditiye wa Darasa la 7 katika shule ya msingi Nyakanazi wilayani Biharamulo mkoani Kagera amefariki baada ya kuangukiwa na ukuta akifanya mazoezi ya kwaya huku wengine 6 wakijeruhiwa kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali Afisa…