Radio Kwizera
Elimu
April 8, 2021, 5:35 pm
Mil 419.8 kujenga Miundombinu ya Elimu Ngara
Na; Seif Upupu Jumla ya Sh Milioni 419.8 zimetengwa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Elimu kwa shule za Msingi na Sekondari kwenye Jimbo la Ngara mkoani Kagera Mbunge wa Jimbo la Ngara Bw Ndaisaba George Ruhoro…