Radio Kwizera

Dr Mpango

March 30, 2021, 5:32 pm

Wananchi Buhigwe wampongeza Dr Mpango

Na; Albert Kavano Wakazi wa Jimbo la Buhigwe mkoani Kigoma wameeleza kupokea kwa furaha uteuzi wa aliyekuwa Mbunge wao Dr Phillip Mpango aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wamesema uteuzi…