Radio Kwizera
Bukoba
April 9, 2021, 12:58 pm
Wakamatwa na Mifuko ya Plastiki Bukoba
Na; Anord Kailembo Wafanyabiashara 15 katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamekamatwa na Idara ya Afya na Mazingira baada ya kukutwa na mifuko ya Plasitiki inayozuiliwa na Serikali. Afisa Mazingira wa Manispaa ya Bukoba Bw Tambuko Joseph amesema wafanyabiashara hao…