Radio Kwizera
kahawa
May 7, 2021, 7:01 pm
Mlipuko wa Corona uliathiri Soko la Kahawa Ngara
Na; Seif Upupu Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa, Ngara Farmers Cooperative Society cha wilayani Ngara mkoani Kagera kimesema kuwa mlipuko wa Virusi vya Corona duniani uliathiri Soko la Kahawa kutoka kwa wakulima wilayani humo Mwenyekiti wa Bodi ya…