Kagera
April 2, 2021, 12:28 pm
Tembo wavamia mashamba Ngara
Na; Felix Baitu. Zaidi ya Ekari 5 za mazao mbalimbali kwenye kijiji cha Lwakaremela kata ya Kasulo wilayani Ngara mkoani Kagera zimeharibiwa na Tembo waliovamia kijiji hicho wakitokea katika hifadhi ya wanyapori ya Burigi Chato Wakazi wa kijiji hicho wamesema…
March 31, 2021, 8:58 pm
Wazee walalamika kutoshirikishwa kwenye vikao vya kijiji na kata Kasharunga, Mul…
Na; Shafiru Asumani Baadhi ya wazee wa Kijiji Cha Kyamworwa kata ya Kasharunga Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamelalamikia kitendo cha kutoshirikishwa kwenye vikao vya maendeleo ya vijiji na kata ambavyo vinaweza kuwasilisha kero mbalimbali zinazowakabili.Wazee hao wamesema hayo kwenye mkutano…
March 25, 2021, 8:36 am
Biharamulo wahimizwa kuwajibika
Na; William Mpanju Serikali Wilayani Biharamulo Mkoani Kagera imewataka wananchi na watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kumuenzi hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli Mkuu wa wilaya ya Biharamulo, Kanali Mathias Kahabi amesema hayo wakati akieleza namna wananchi wa Biharamulo wanavyotakiwa kuendelea kumuenzi kwa kufanya kazi kama ilivyokuwa kauli mbiu ya Dr Magufuli ya “Hapa Kazi Tu”…