Radio Kwizera
Habari za Siasa
May 17, 2021, 5:03 pm
ACT Wazalendo wakataa Matokeo Uchaguzi Buhigwe
Na; Albert Kavano Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Buhigwe kupitia chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma Bw Garula Tanditse ameyakataa matokeo ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge uliompa ushindi Mgombea wa CCM Bw Felix Kavejuru kwa asilimia 83. Akizunguma na…
April 26, 2021, 11:51 am
Dr Mpango asema Huu ni Muungano unaoishi
Na Seif Upupu Makamu wa Rais Dr Philip Mpango amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Muungano unaoishi ili kutimiza matakwa na malengo ya Watanzania Akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano la Muungano leo kwenye Ukumbi wa Chimwaga jijini Dodoma, Dr…