Radio Kwizera

Habari za Chato

March 24, 2021, 11:44 am

Ombi la Waumini wa Kanisa Katoliki Chato.

Na; Elias Zephania Waumini wa Kanisa Katoliki la Bikra Maria, Parokia ya Chato mkoani Geita wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuendeleza yale aliyoyaacha hayati Dr John Magufuli ikiwemo kudumisha Umoja na Mshikamano wa viongozi wa dini nchini. Wakizungumza na Radio…