Radio Jamii Kilosa
Umeme
26 January 2021, 11:37 am
Tanesco kumaliza tatizo la kukatika umeme Kilosa- Meneja Tanesco
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco wilayani Kilosa limejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara katika baadhi ya maeneo kunakosababishwa na nguzo chakavu zilizooza ama kuanguka. Akizungumza Januari 26 2021 katika kipindi cha Mambo Mseto kinachorushwa na…