Radio Jamii Kilosa
Kilimo
11 March 2021, 7:52 pm
Halmashauri ongezeni nguvu katika sekta ya kilimo-DC Mgoyi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa rai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutambua kuwa Wilaya ya Kilosa ni wilaya ya kilimo iliyojaa mito yenye maji ya kutosha hivyo ni vema wilaya ikajikita zaidi katika uzalishaji ili kupata…
16 January 2021, 4:49 pm
Mkandarasi lukolo constrctor atakiwa kumaliza Mradi kwa wakati Kilosa -Kusaya.
Katibu Mkuu Kilimo Gerald Kusaya ametoa muda hadi ifikapo mwisho wa mwezi huu mkandarasi Lukolo Construction Ltd awe amekamilisha ujenzi wa mradi wa skimu ya umwagiliaji ya Kilangali ili itumike na Wakala wa Mbegu wa Taifa ( ASA) kuzalisha mbegu…