Radio Jamii Kilosa
Kifo
27 March 2021, 4:34 am
“Magufuli ameacha haya wewe na mimi tutaacha nini?”-Padri Nyanga.
Waamini wa Kanisa Romani Katoliki Parokia ya Familia takatifu Kilosa Mkoani Morogoro wamefanya ibada ya misa takatifu kwa ajili ya kumuombea hayati Dakta John Pombe Magufuli katika safari yake ya mwisho ambapo machi 26 2021 mazishi yamefanyika Nyumbani kwao Chato…