Radio Jamii Kilosa
Iftar
9 April 2024, 1:09 pm
Prof. Kabudi afuturisha mamia ya wakazi Rudewa
Zimesalia siku chache ili kuisha kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo waislam duniani kote wamekuwa wakitimiza moja ya nguzo muhimu ya dini kwa kufunga na kufanya ibada na matendo mema huku wakidumisha amani, upendo na ushirikiano baina yao. Na Asha…