Radio Jamii Kilosa
Afys
21 January 2021, 1:44 pm
Jamii imetakiwa kula Mlo kamili kuimarisha Kinga ya Mwili-Kilosa
Wito umetolewa kwa jamii kula Mlo kamili kwa kuzingatia makundi matano ya Chakula ili kuimarisha Kinga ya Mwili Isishambuliwe na magonjwa. Wito huo umetolewa januari 21, 2021 na Mratibu wa Shughili za Wahudumu kutoka Mradi wa Lishe endelevu Wilayani Kilosa…