michezo
4 March 2021, 4:07 AM
MBUNGE wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ametoa vifaa ya Michezo Klabu ya mpir…
MBUNGE wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ambaye pia ni Waziri wa Viwanda na Biashara amewapatia vifaa mbalimbali vya Michezo Klabu ya mpira wa miguu ya Mkuti Makerti ya mjini Masasi ambapo Timu hiyo kwa sasa ndio imefanikiwa kuwa Bingwa…
28 February 2021, 4:28 AM
Afisa Habari wa Klabu ya Yanga hbumbuli ameshinda rufani
Afisa Habari wa Klabu ya Yanga @hbumbuli ameshinda rufani yake na Sasa yupo huru kuitumikia klabu yake. Ikumbukwe Bumbuli alifungiwa kujishughulisha na masuala ya soka kwa miaka 3 na Kamati ya Maadili ya TFF.
28 February 2021, 4:16 AM
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba aiwaza Al Merrikh
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba amesema kuwa mchezo wake ujao dhidi ya Al Merrikh utakuwa mgumu tofauti na wengi wanavyofikiria. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Simba ikiwa ipo kundi A ipo nafasi ya kwanza na ina pointi…
28 February 2021, 4:11 AM
PRINCE Dube wa Azam FC aipeleka timu hiyo hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho.
PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC amefanikiwa kutimiza majukumu yake kwa uzuri na kuipeleka timu hiyo hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho. Bao lake la ushindi dakika ya 45+1, Uwanja wa Azam Complex limetosha…
28 February 2021, 4:07 AM
KIUNGO wa Yanga, Carlos anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu
KIUNGO wa Yanga, Carlos Carlinhos amesema kuwa anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Jana, Februari 27 wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Ken Gold FC…
26 February 2021, 6:05 AM
Simba itakaribishwa na African Lyon
IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku. Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada…
23 February 2021, 5:05 AM
mechi ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya CR Belouizdad ya Alge…
SHIRIKISHO la Soka Afrika limeridhia mechi ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya CR Belouizdad ya Algeria ichezwe Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Februari 28, mwaka huu.
23 February 2021, 4:49 AM
NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf atowa angalizo
NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf amesema kuwa wamekuja Dar kwa ajili ya kupata ushindi mbele ya wapinzani wao Simba.Kesho, Februari 23 Al Ahly itakaribishwa na Simba, saa 10:00 kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya…
23 February 2021, 4:46 AM
Mwamuzi Lucien Toudignon wa Benin Ashambuliwa na wachezaji
Mwamuzi Lucien Toudignon wa Benin jana akiwa amelazwa kwenye hospital nchini Burkina Faso baada ya kushambuliwa na wachezaji wa klabu ya Bouenguidi ya Gambia kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa kufuzu makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika (Caf…
19 February 2021, 10:17 AM
PRINCE Dube,Azam FC, ATUPIA TENA
PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC, usiku wa kuamkia leo amepachika bao lake la 7 ndani ya ardhi ya Bongo akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na George Lwandamina. Alifunga bao…