News
17 February 2021, 9:56 AM
Barcelona wanyooshwa na PSG mabao 4-1
LICHA ya kutupia bao la kwanza mapema dakika ya 27 kwa mkwaju wa penalti,kupitia kwa Lionel Messi bado ilikubali kichapo cha mabao 4-1 mbele ya PSG, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora. Barcelona imekuwa kwenye wakati…
17 February 2021, 9:52 AM
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri kupiga marufuku vitendo kuwafanyia…
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kwa kauli moja wamepitisha maazimio mbalimbali likiwemo la kupiga marufuku vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wazazi wa wanafunzi wa wanaomaliza elimu ya msingi( Darasa la saba) kuwafanyia…
17 January 2021, 11:57 AM
Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia
Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia Alfajiri ya kuamkia leo akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili., Ndugu wa karibu wa C Pwaa amethibitisha kuwa Pwaa alikuwa anaugua Pneumonia na alifikishwa Hospitali kwa matibabu, hali yake…
12 January 2021, 3:18 AM
Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) Arobaini na Tisa (49) waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za Sherehe za…
12 January 2021, 2:57 AM
Diwani wa kata ya Mijelejele Iliyopo Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndg Juma pole…
Diwani wa kata ya Mijelejele Iliyopo Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndg Juma pole amezindua zoezi la upandaji miti katika kata hio iliyoambatana na kauli mbiu isemayo Mti wangu uhai wangu.Uzinduzi huo pia ulihudhuriwa na Afisa Misitu Wilaya Masasi Ndg Kelvin…
11 January 2021, 4:23 AM
DK Jackson- mazoezi ni sehemu ya afya.
11 January 2021, 4:07 AM
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara utekelezaji wa miradi…
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara ( DCC) kimeketi kwa ajili kujadili utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo imetekelezwa kwa kipindi cha mwaka wa fedha, 2020/ 2021 ikiwa ni kikao cha kwanza kwa mwaka 2021 Aidha,…
8 January 2021, 4:43 AM
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil mwambe amefanya ziara katika Jimbo lake
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil mwambe amefanya ziara katika Jimbo lake na kutembelea Jumuiya mbali mbali za maji na kufanya nazo mkutano wenye lengo la kuboresha Shuguli wanazozifanya ili ziweze kufahamika kikatiba . Katika ziara hio aliambatana na Meneja…
31 December 2020, 4:03 AM
Tatizo la kupata Hedhi nyingi kupita kiasi sababu na athari zake
Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…
31 December 2020, 3:29 AM
Kaya Zaidi Ya 40 Katika Vijiji Vya Kivukoni Na Chiwale Zakosa Makazi
Chanzo-Hamisi Abdelehemani Nasiri