News
5 November 2021, 3:57 AM
warsha elekezi kwa Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi
Asasi ya Kiraia ya @HakiElimu imeendesha warsha elekezi kwa baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara inayohusiana na uandaji wa bajeti yenye mlengo wa kijinsia ikiwemo kutambua usawa kati ya mtoto wa kike na wakiume. Warsha…
1 September 2021, 4:53 AM
Matukio ya mkesha wa mwenge wilayani Masasi (PICHA)
1 September 2021, 4:46 AM
MASASI: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa uhuru Luteni, Josephine Mwambashi amekataa…
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa uhuru Luteni, Josephine Mwambashi amekataa kuzindua mradi wa maji wa Chipole uliopo kijiji katika cha Chipole halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara. Hali hiyo imejitoleza leo katika mbio za mwenge ambapo mwenge wa uhuru…
31 August 2021, 2:14 PM
Mwenge Wa Uhuru Wa Zindua Miradi Mbalimbali Ndani Ya Wilaya Ya Masasi Leo.
Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Luteni Mwambashi amegiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa Jengo la utawala Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara linalojengwa maeneo ya Mbuyuni . Mwambashi ameyasema hayo wakati wa…
26 August 2021, 5:16 AM
CHAMA Cha Mapinduz Kimewazawadia Vyeti Maalumu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…
17 July 2021, 5:03 AM
Mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu kutumika mkaa!!
Huu ni mkaa ambao umetengenezwa kutokana na mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu baada ya mbao kurandwa mkaa huu unasifa bora ya unapotumia kwanza unatumia kiasi kidogo sana cha lakini pia unasifa ya kuwaka kwa muda mrefu tofauti na mkaa…
9 July 2021, 7:31 AM
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi wamelipw…
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara (MAMCU) mkoani Mtwara wamelipwa fedha zao jumla ya sh.11,702,529,251 ambazo ni mauzo ya jumla ya kilo 5,002,275 katika minada miwili ya zao hilo iliyofanyika mwezi huu wa…
9 July 2021, 7:25 AM
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kut…
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Claudia Kitta( katikati) ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kutoka kwa watendaji na wananchi wa wilaya hiyo ili kwa pamoja kuweza kufanya kazi kwa bidii katika kutatua kero za wananchi wa wilaya ya Masasi.…
9 July 2021, 7:19 AM
Mtoto ambaye ni Msichan amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana
Mtoto ambaye ni Msichana mwenye umri wa miaka nane wa kijiji cha kivukoni kata ya Chiwale , Wilayani Masasi mkoani Mtwara ambapo mtoto huyo alikuwa amewekwa unyango Jandoni amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana na kumkamata mtoto huyo…
20 May 2021, 11:35 AM
TATEDO Kushirikiana na WWF yatoa majiko 2 na Sufuria 2 kupunguza uharibifu wa ma…
Shirika lisilo la kiserikali TATEDO linalo jihusisha na uendelezaji wa teknolojia na huduma za nishati endelevu tanzania, katika ukanda huu wa ruvuma linatekeleza Mladi wa kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati na mradi huu unafaziliwa na WWF tanzania na kushirikiana…